FAIDA YA TUNDA AINA YA TANGO MWILINI MWAKO.
Tunda aina ya tango hupatikana maeneo mengi duniani, watu wengi hupuuza
kula tunda hili kwasababu ya kutokuwa na sukari yoyote katika tunda
hili.
Ukweli utabaki kuwa pale pale kuwa tango husaidia vitu vingi mwilini kwa mfano hupunguza maumivu ya kichwa, viungo vya mwili, hupambana na ugonjwa wa Cancer, husafisha figo, kupunguza uzito, huweka sawa mfumo wa damu, hukupatia afya nzuri ya nywele na mengineyo.
Jitahidi kula matango kwa afya bora, kwani unaweza kukata kata kama kachumbali ukatia chumvi ili kuleta radha ya kula. Mimi binafsi hupenda kula matango ninapoyapatia nafasi, kwani hayana idadi maalumu ya kula, utakula kadri uwezavyo.
Ukweli utabaki kuwa pale pale kuwa tango husaidia vitu vingi mwilini kwa mfano hupunguza maumivu ya kichwa, viungo vya mwili, hupambana na ugonjwa wa Cancer, husafisha figo, kupunguza uzito, huweka sawa mfumo wa damu, hukupatia afya nzuri ya nywele na mengineyo.
Jitahidi kula matango kwa afya bora, kwani unaweza kukata kata kama kachumbali ukatia chumvi ili kuleta radha ya kula. Mimi binafsi hupenda kula matango ninapoyapatia nafasi, kwani hayana idadi maalumu ya kula, utakula kadri uwezavyo.
kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana
nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia
www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na
www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania,www.lupimoclinic.blogspot.com,youtube.co/lupimoclinic.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni