Jumatano, 27 Septemba 2017

LUPIMO SANITARIUM CLINIC YAUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KUTENGENEZA KIWANDA CHA KUZALISHA DAWA ZA ASILI , KWA KUTUMIA MIMEA, MATUNDA NA MBOGAMBOGA.

Haya ni maboresho makubwa ambayo clinic ya lupimo sanitarium imeyafanya, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza dawa za asili kwa kutumia mimea, matunda pamoja na  mbogamboga, kiwanda hiki kipo jijini dar es salaam ambapo dawa zote zitakuwa zinazaliwa hapa dar es salaam na kusambazwa katika vituo vyote vya lupimo clinic.

Kiwanda hiki kitarahisisha utengenezwaji wa dawa kwa haraka tofauti na ilivyokuwa hapo awali ambapo dawa zilikuwa zikichukua mda mrefu kukamilika.

hii imekuja kufuataia agizo la serikali kupitia wizara ya afya kuwataka matabibu wote katika vituo vyao.

Lupimo sanitarium clinic wanakuhakikishia huduma bora na yenye uhakika

MAWASILIANO 0759324414 AU 0672666601



Tabibu john lupimo akielekeza jambo juu ya kiwanda hiki cha kutengeneza dawa










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni