Jumamosi, 13 Februari 2016

                 FAIDA ZA KIAFYA ZA TUNDA LA PARACHICHI. 

Parachichi


Tunda  la  AVOCADO  ama  PARACHICHI  lina  faida  nyingi  kwa  afya  ya  mwanadamu.


Miongoni  mwa  faida  hizo  ni  pamoja  na  :
i.             Avocado  lina vitamini A,B na C   ambazo  zina  faida  lukuki  kwa   mwili wa  mwanadamu
ii.           Husaidia  kuimarisha guvu ya mwili na ubongo
iii.         Husaidia  kujenga neva na fahamu
iv.         Husaidia  kujenga mifupa na kuipa nguvu
v.           Husaidia  kuleta kuona vizuri
vi.         Husaidia  kupiga  vita ukosefu wa damu (anaemia)
vii.       Husaidia  kufanya kazi  ya  kuondoa nywele zinazoanguka.
viii.     Husaidia kukuza nywele zinazodumaa (dandruf)
ix.         Husaidia kutuliza maumivu pindi inapopakwa au kusuguliwa sehemu yenye maumivu
x.           Majani ya  avocado   yakichemshwa kama chai na kunywewa husaidia kuondoa matatizo mbalimbali  ya mwili  kama  vile  uchovu,udhaifu,kujisikia ovyo,kuumwa kichwa, kuumwa Koo (throat),tumbo Mapafu,uvimbe, vidonda mdomoni (kwa kutafuna majani)

Mbegu  ya  Parachichi.

·       Mbegu  ya  parachichi  iliyo  kaangwa  na  kusagwa  husaidia  kutibu   tatizo  la Kukwama kwa mkojo


Kwa  maelezo zaidi, tufikie katika vituo vyetu vilivyopo mikoani
VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni