Ijumaa, 12 Februari 2016

FAIDA ZA TUNDA LA PERA

Lupimo sanitarium clinic ni kituo cha tiba asili wanatibu magonjwa kama kuota kinyama sehemu ya haja kubwa na magonjwa mengine mengi, kutana tabibu bingwa ambae ni mkurugenzi wa lupimo sanitarium clinic John lupimo mpigie simu sasa hivi umweleze tatizo lako kupitia 0742120577,0769368546 au 0672666601.
Pera

Mapera  ni  matunda  yanayo patikana  kwa wingi  lakini  mara  nyingi  huwa  hayapendelewi  sana  kutokana na  ugumu  wake  wakati  wa  kuyatafuna   pamoja  na  kuwa na  mbegu mbegu  nyingi.  Hata  hivyo  matunda  haya  yana  faida  kubwa sana  kwa afya  ya  mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo  ni  faida  kumi za  mapera.

1. Utajiri  wa  Vitamin  C:


Mapera  ya  utajiri  mkubwa wa  Vitamin C ambayo  ni  muhimu  sana  katika  mwili  wa  mwanadamu.


2. Ni  kinga  nzuri  ya  kisukari.


Ulaji wa  watu wengi  unawaweka  katika   hatari  ya  kupatwa  na  ugonjwa  wa  kisukari  lakini  matumizi  ya  mapera  yatakupunguzia   hatari  ya  kupatwa na  ugonjwa  wa  kisukari Hii  ni  kwa  sababu mapera  yana  utajiri  mkubwa  sana  wa  Fibre. 
Fibre  ni  muhimu  sana  katika  kupunguza  kiasi  cha  sukari  kwenye  damu.  Vilevile   ni  muhimu sana  katika kuusafisha  mfumo wa  usagaji 

3. Kuimarisha  Uwezo  Wa  Kuona 


Mapera  yana  utajiri  mkubwa  sana  wa  Vitamin  A  au  Retinol  ambayo ni  muhimu  sana  katika  kusaidia  kuona  vizuri.
Hivyo  basi  kama  ilivyo  kwa  karoti, mapera  yanasaidia   sana  katika  kuongeza  na  kuimarisha  uwezo w a  mtu  kuona.


4. Kusaidia  katika  Uzazi


Mapera  yana  madini  yaitwayo  Folate  ambayo husaidia  katika  kurutubisha  mayai ya  uzazi..


5. Kurekebisha   Kiwango Cha  Shinikizo  La  Damu


Madini  ya  Potassium  yaliyomo  ndani  ya  mapera  yanasaidia  katika   ku-normalise  shinikizo  la damu ( Blood  Pressure )
Ndizi na  mapera  vina  kiwango  cha  potassium sawa.


6.  Utajiri  mkubwa  wa  Madini  Ya Shaba


Mapera  yana madini  ya shaba  ( Trace  element copper )  ambayo  ni  mazuri  sana  katika  ku- maintain  ufanyaji  kazi  wa   tezi  ziitwazo  thyroid.
Tezi  za  thyroid  zisipo  fanya kazi  vizuri  zinaweza  kusababisha matatizo  mengi  ya  kiafya  kwa mwanadamu.


7. Utajiri  wa  Madini  Ya  Manganese


Mapera  yana  utajiri  mkubwa  wa madini  ya  manganese  ambayo  yanausaidia  mwili   katika  kunyonya  ama  kupata virutubisho  muhimu  kutoka  kwenye  vyakula tunavyo kula.
Chakula  tunacho tumia  kikitumika vizuri mwilini, tunapata  virutubisho  vyote  muhimu  kama  vile biotini, vitamin  nakadhalika..

8.  Kuusadia  mwili  na  akili  katika  ku-relax

Mapeara  yana  utajiri  mkubwa  wa  madini  ya  magnesium ambayo   hufanya  kazi  ya  kuvifanya  akili  na  mwili  wa  mwanadamu  viweze  ku  relax.   Unashauriwa   kutumia  mapera  baada  ya  kazi  nzito. Hii itasaidia  katika  kuufanya  mwili  na akili  yako  kupumzika


9.  Mapera  ni  muhimu  katika  afya  ya akili ya mwanadamu.

Vitamin B3, Vitamin B6  ambazo  zinapatikana  ndani  ya  tunda  la  mpera   muhimu  katika  kuimarisha  afya  ya  akili ya mwanadamu.
Mapera  yatasaidia  kuufanya  ubongo wako   u  relax.


10. Ni Muhimu  Katika  Ngozi  Ya Mwanadamu. 

Vitamin C, viondoa  sumu  na  karotini   ambavyo  vyote  vinapatikana  ndani  ya  tunda  la  mpera  ni  muhimu  sana  katika  kuimarisha  afya  ya  ngozi.
Kama  hiyo haitoshi, kokwa  la  mpera  huwa  linatumika  katika  kutengeneza  vipodozi na  losheni  kwa  ajili  ya  matumizi  ya  mwanadamu.
KWA  USTAWI  WA  AFYA  YAKO, ANZA  KUTUMIA TUNDA  LA  MPERA  SASA.

KWA USHARI NA ELIMU ZAIDI YA MATUNDA MBALIMBALI PAMOJA NA MATIBABU BORA USISITE KUTUFIKIA LUPIMO SANITARIUM CLINIC KATIKA VITUO VYETU VILIVYOPO MIKOANI



VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni