Lupimo sanitarium clinic ni clinic
inayojishughulisha na tiba ya magonjwa mbalimbali kwa dawa zilizotengenezwa hapa nchini
tanzania, kwa kutumia mimea asili.
Lupimo sanitarium clinic wamekuletea dawa iitwayo FIWEMU
HERBS ambayo husaidia tatizo la ugumba kwa wanawake, husaidia mimba
isiharibike, vilevile hupunguza maumivu wakati wa hedhi .
na kwa upande wa
wananume lupimo sanitarium clinic wamekuletea dawa iitwayo JC HERBS
ambayo husaidia kupunguza mapungufu yaliomo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume,
husaidia kupunguza tatizo la kupata haja ndogo kwa shida (tezi dume), na pia
husaidia kupunguza magonjwa yaenezwayo kwa njia ya kujamiiana.
Dawa hizi zimesajiliwa na baraza la tiba asili na
tiba mbadala kuwa hazina madhara kwa mtumiaji na zinapatikana nchi nzima katika
vituo vya lupimo sanitaruim clinic.
Kwa mawasialino zaidi tupigie kwa namba 0672666601
au 0742120577
Karibu lupimo sanitarium clinic uhudumiwe.