Jumamosi, 12 Desemba 2015

Kwanini mtu anaetokwa na damu puani   halazwi chali?

Msomaji wetu wa blog hii ya lupimo sanitarium clinic kwa mara nyengine basi kama ilivyo desturi yetu  kukumbushana mambo muhimu basi leo tunawakumbusha jinsi gaani mtu anayetokwa damu puani kuwa huruhusiwi kumlaza chali yaani kuangalia juu. hapa basi tumsikilize doctor john lupimo kutoka lupimo sanitarium clinic anatuelekeza  faida kubwa sana kuhusu hili kwasababu jamii iliyotuzunguka tulikuwa tukifahamu kuwa mtu akitokwa na damu puani ili damu ziweze kukata zisitoke basi eti tulikuwa tukisema mlaze chali eti ndio damu zinakata...haaaaaaa kumbe hii ni hatari kubwa sana tena sana na inaweza kukupelekea hata kifo,sasa hebu tuungane nae Dokata lupimo  akitufahamisha kwanini basi watu wanatokwa na damu puani.
Dokta tungependa kufahamu ni kwanini basi watu wanatokwa na damu puani?
Dokta:Kutokwa na damu puani ni matatizo ya kawaida ambayo inawatokea watu na si kitu kigeni,hii ni  inatokana na vishipa vidogo vidogo vilivyopo ndani ya pua kupasuka na vikipasuka basi damu hua inatoka puani.

Dokta kuna hili tatizo la mtu akitokwa na damu puani tuna mlaza chini je tupo sawa kufanya hivi?
 
Dokta:Hakika kuna madhara ya mtu akitokwa na damu puani ambapo tumezoea sana katika jamii yetu,kwani haitakiwi kumlaza  mtu chali kwasababu damu inayotoka katika vishipa vidogo vya damu inatakiwa itoke nje sasa unapomlaza chali ina maana unaizuia  damu hiyo inayotaka kutoka  nje isitoke  na iende ndani  ambapo kule ndani inapokwenda haitoingia katika vile vishipa vya damu inapotoka kwani itakwenda sehemu nyingine ya mwili na ikifika kule  itaganda kwa sababu haina virutubisho na ikiganda itaoza na ikioza itasababisha kutokea kwa bakteria  ambapo utapata madhara au magonjwa  ili tusipate madhara basi tuiache damu itoke nje.
lakini kama unatatizo hili basi tufikie lupimo sanitarium clinic katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
 
 
Shukrani sana Doktari john lupimo,  ila wakati mwingine docta ataweza kuzungumzia tatizo hili kwa undani kuhusu mtu kutokwa na damu puani ama masikioni pamoja na visababishi vyake.
 
VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,


kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni