ZIFAHAMU SABABU AMBAZO HUCHANGIA KUHARIBIKA KWA MIMBA MARA KWA MARA NA UZIEPUKE
Kimsingi kuna sababu nyingi zinazoweza kubabisha mimba kutoka lakini leo hapa nitaeleza baadhi tuu kama ifuatavyo:
Kwanza kabisa kuna baadhi ya magonjwa yanapompata mama mjamzito huweza kupelekea tatizo hili endapo hayatatibiwa vizuri mfano wa magonjwa hayo ni pamoja na malaria, magonjwa ya ngono pamoja na magonjwa yanayoshambulia mfumo mzima wa njia ya mkojo.
Mbali na magonjwa hayo pia kuna matatizo mengine ambayo huathiri moja kwa moja na huweza kuleta madhara ya mimba kutoka kirahisi sana mfano wa magonjwa hayo ni uvimbe wa ndani ya kizazi,ulegevu wa mlango wa uzazi na kadhalika.
Matumizi ya dawa mama anapokuwa mjamzito hapaswi kutumia dawa yeyote bila kuandikiwa na daktari.
Pia matumizi ya pombe na sigara kipindi cha ujauzito ni hatari sana kwani huingilia mfumo wa homoni na uzazi na kusababisha mimba kuharibika.
Sababu nyingine ambayo huweza kuchangia tatizo hili ni umri mkubwa, kubebe mimba kwenye umri mkubwa huchangia sana mimba kuharibika kwani kipindi hiki viungo vya uzazi na mfumo wa homoni unakua umepungua nguvu sana hivyo mimba za ukubwani sana hasa zaidi ya miaka 35 hutoka kirahisi kuliko mimba za vijana lakini pia mimba za utotoni sana si nzuri pia.
hizo ni baadhi tu ya sababu zinazo pelekea mimba kutoka mara kwa mara lakini kama unapatwa na tatizo hilo basi ni vyema ukatufikia lupimo sanitarium clinic tukakutibu na utashika mimba na utajifungua bila matatizo yoyote, vituo vyetu vinapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
kwa maelezo
zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na
0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na
www.hulkshare.com/lupimoclinic.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni