FAHAMU SABABU ZA MAUMIVU YA MGONGO NA TIBA YAKE ASILI
Hali ya maumivu ya mgongo huwatesa watu wengi hasa wale wenye umri
mkubwa jambo ambalo husababisha watu hao kutojisikia vizuri au kawaida
katika misuli au mifupa ya mgongo wako.
Moja ya sababu za maumivu ya mgongo ni aina ya kazi unayofanya. Kazi
inayohitaji muda mwingi katika kukaa/kusimama au unaifanya ukiwa katika
mkao wa kuinama huchangia sana maumivu ya mgongo.
Sababu nyingine ni ubebaji wa mizigo mizito usiozingatia afya ya
mgongo na hata kulalia matandiko (magodoro) laini wakati wa kulala.
Uzito wa kupita kiasi (ujauzito, kitambi) huweza kusababisha maumivu
ya mgongo, ila akina mama wajawazito wanafahamu! Kinachotokea huwa ni
kubadilika kwa mfumo mzima wa maumbile ya mgongo na hivyo kusababisha
baadhi ya misuli/mifupa kubeba uzito wakati wa kukaa au kusimama.
Sababu nyingine ni pamoja na magonjwa yanayoathiri mifupa (pingili)
za mgongo kama vile TB ya mifupa ya mgongo, lakini pia kuvunjika au
kuhama kwa mifupa ya mgogo kutoka nafasi yake ya hapo awali kutokana na
sababu mbali mbali ikiwemo ajali huweza kuwa sababu pia ya maumivu ya
mgongo.
Mbali na sababu hizo pia umri wa uzeeni ni mojawapo ya sababu ya
maumivu ya mgongo, kadri mtu anavyozidi kuukaribia uzee ndivyo
kunavyozidi kutokea mabadiliko katika mifumo yote ya mwili ikiwemo ile
ya mifupa na misuli hivyo kuleta matatizo mengine ya kimfumo yakiwemo
maumivu ya mgongo na mengineyo.
Sasa baada ya kufahamu sababu hizo ambazo huchangia maumivu ya mgongo
ni vyema ikafahamika kwamba kuna baadhi ya vitu asili huweza kutumika
kutibu matatizo haya ya maumivu ya mgongo.
hizi ni baadhi tu ya sababu zinazopelekea maumivu ya mgongo na usipotibiwa mapema madahara yake ni makubwa ikiwemo ufanisi wa tendo la ndoa na kwa akina baba nguvu za kiume zinapungua na hata kuisha kabisa, tufikie lupimo sanitarium clinic katika vituo vyetu vilivyopo mikoani
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni