SABABU ZA TATIZO LA UZAZI KWA KINABABA NA JINSI YA KUKABILIANA NALO KWA KUTUMIA VYAKULA
Matatizo ya ugumba kwenye familia nyingi huelekezwa zaidi kwa
kinamama na imekuwa ni nadra sana matatizo haya kuelekezwa kwa kinababa
japo kuwa wao pia huweza kuwa na shida hii ya ugumba.
Nimekuwa nikipokea maswali mbalimbali kutoka kwa wanaume wakiomba
angalau kujua sababu kadhaa ambazo huchangia tatizo la ugumba kwa
wanaume.
Miongoni mwa sababu ambazo huchangia tatizo la ugumba kwa wanaume ni
pamoja na kukaa sehemu sehemu yenye joto kali sana kwa muda mrefu au
kufanya kazi kwenye mazingira yenye kemikali zinazoathiri uzalishaji wa
mbegu za kiume.
Tatizo hili pia huweza kuchangiwa na kukosekana kwa baadhi ya
vichocheo mwilini madhara yatokanayo na magonjwa ya korodani au kwenye
mishipa ya korodani.
Magonjwa mengine ambayo huweza kuchangia mwanaume kuwa na tatizo la
uzazi ni pamoja na kuzongwa na magonjwa ya ngono kwa muda mrefu pamoja
msongo wa mawazo.
Sasa ili kuepuka tatizo hili inashauri kupendelea kutumia vyakula
asili katika mlo wako kila siku na kuacha kutumia vyakula vya makopo hii
ni kwa sababu vyakula asili mara zote huwa na virutubisho asili ambavyo
huusaidia mwili kujijenga vizuri na kumfanya mhusika kuwa vizuri hata
katika afya ya uzazi.
Jenga utaratibu sasa wa kula mboga za majani, matunda na vyakula
vyenye asili ya mzizi nazungumzia mihogo, magimbi pamoja na viazi,
lakini pia epuka matumizi ya vyakula vilivyopikwa kwa kutumia mafuta
mengi.
kwa maelezo zaidi ya tatizo hilo basi ni vyema pia ukatufikia mapema lupimo sanitarium clinic katika vituo vyetu vilivyopo mikoani tutakutibu na utarudi katika hali yako ya kawaida,
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni