Jumatatu, 7 Desemba 2015

Maumivu ya kichwa au kuumwa kichwa


Ni kweli kwamba hakuna katika jamii mtu
ambaye hajawahi kupatwa na ugonjwa
huu. Unapoumwa kichwa mara kwa mara,
angalia sababu zifuatazo-


1- Harufu kali (nzuri au mbaya):Harufu kali
huweza kusababisha kuuma kichwa, kama
maji ya karafuu kali, Shampoo, eneo
lililopuliziwa uturi na sabuni ya rehe kali na
mengineyo.
2- Njaa: Miongoni mwa sababu
zinazosababisha kuuma kichwa ni njaa na
mlo usokuwa kamili wa kila siku, au
kutopata mmoja kati ya mlo wa kila sku, hii
hupelekea upungufu wa kiwango cha
sukari katika baadhi ya miili dhaifu.
3-Kutolala au kutopata mapumziko kama
ipasavyo.
4- Hali ya hewa: Ubadilikaji wa hali ya hewa
ni moja kati ya sababu zinazosababisha
kuumwa kichwa.
5- Kutokuwa na utulivu: Moja kati ya sababu
za maumivu ya kichwa ni kutokuwa na
utulivu kutokana na sababu kadhaa
zilizosababisha kutokea hali hiyo, kutokua
na utulivu husababisha kufikiria sana na
kupelekea ubongo kutofanya kazi ipasavyo.
6- Magonjwa mbalimbali yanayopelekea
msukumo wa damu kua juu (high blood
pressure, waswahili wamezoea kusema BP),
upungufu wa damu, nk



7.inaweza kuwa ni dalili ya magonjwa 
mwengine tena kama malaria


Kabla na baada ya kufanya vipimo vya afya
basi tujitahidi kutotumia uturi kupita
kipimo hasa zenye harufu kali, tujitahidi
kupata chai ya asubuhi na mlo wa usiku
tusikose kwani chai na mlo wa usiku ni
muhimu zaidi katika kufanya kazi viungo
vya mwili, tujitahidi kupumzika wastani bila
kuzidisha masaa manane kwa kila siku,

tujitahidi pale tu tunapojihisi kuwa na
uchovu fulani haraka tupumzike kwa muda
wa nusu saa au kwa lisaa limoja, ama kwa
wale wasiokuwa na utulivu(stress), kama ni
mwenye familia ajitahidi kuongea na familia
yake ili kutatua tatizo lilokuepo kwani hali
ya kutokuwa na utulivu aghlabu katika jamii
husababishwa na kazi tunazofanya kila siku
kama hatukuzifanikisha hutokea hali hiyo,

kwa wasokuwa na familia wajitahidi
kuongea na washauri wao ili kupata utatuzi
wa tatizo lake. Sababu za kuumwa kichwa
si hizo tu bali ni nyingi ila muhimu ni hizo
tulozitaja hapo awali, la muhimu tujitahidi
kuwa salama na afya njema kwani kuwa na
afya njema shughuli zetu za kila siku
zitakwenda vizuri bila dosari.

kama unasumbuliwa na tatizo hili na limekusumbua kwa muda mrefu na inawezekana umezunguka maeneombalimbali bila kupata tiba stahiki, hebu tufikie lupimo sanitarium ktika vituo vyetu vilivyopo mikoa mbalimbali hapa nchini

VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,

 kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni