Jumatano, 16 Desemba 2015

 NAMNA YA KUZUIA KINYWA KUTOA HARUFU MBAYA

Kinywa kutoa harufu(pumzi) yenye harufu mbaya ni mojawapo ya matatizo yanayowapata watu wengi na huwafanya kujisikia vibaya. 
 
Husababisha na aina ya bakteria ambao wanauwezo wa kuzalisha salfa kwenye ulimi,koo na tonsil. Bakteria hawa huweza kuishi bila kutegemea oksijeni(anaerobes). 
 
 Bakteria hawa huweza kuzalisha gesi zinazotoa harufu mbaya mfano hydrogen sulphide ambao hunuka kama yai viza au putriscine ambao hunuka kama mboga zilizooza au harufu ya mzoga(cadeverine smell). Zifuatazo ni dondoo chache zinazoweza kukusaidia kuepuka hii karaha ya kinywa kutoa harufu mbaya.
 
1. Kunywa Maji ya kutosha
Hakikisha unakunywa maji mengi. Maji yanasaidia kinywa kutoa mate. Mate yanauwezo wa kupunguza harufu mbaya kwa kuwa mate yana kemikali na vimeng'enyo ambavyo huua bakteria wanaozalisha gesi zenye harufu.

2. Mouth Cleansers(vifaa vya kusafishia kinywa)
Kuwa makini unapochagua miswaki  pamoja na dawa za meno. Watu ambao wana midomo Mikavu watumie
dawa zenye uwezo wa kutoa unyevu pamoja na dawa za just kujua.  Unapochagua dawa za meno,ni vema luang alia viambata(ingredients). Ingawa dawa  nyingi za meno zinaviambata vinavyofanan  angalia dawa yenye triclosan., ambayo ina nguvu ya kuua bacteria na hupambana na harufu mbaya. Pia tumia unaweza kutumia vitu vnavotoa harufu mfano mint au lemon

3. Punguza Matumizi ya dawa.
Takribani asilimia 75% ya madawa husababisha ukavu wa kinywa.. Hivyo basi matumizi ya dawa ambayo siyo ya msingi yaepukwe na kutumia dawa inapohitajika. Hatua hii itasaidia kupungza harufu mbaya inayosababishwa na ukavu wa kinywa.

4. Mafindofindo.
Tonsil ni sehemu nyingine katika kinywa ambapo mabaki ya vyakula pamoja na bacteria  vinaweza kukwama .Vitu hivi vkikaa kwa muda mrefu husababisha kinywa kutoa harufu mbaya. 

5. Safisha Ulimi.
Ulimi ni sehemu nyingine katika kinywa ambapo bacteria wanaweza kuzaliana. Hakikisha unasafisha ulimi wako kwa kutumia mswaki mwingine.
 
kama unatatizo hili basi usisite kutufikia lupimo sanitarium clinic tukupatie matibabu ya kuondoa tatizo hilo, na tunapatika mikoa mbalimbali hapa nchini,

VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,


kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni