FAIDA YA MATUNDA YANAYOPATIKANA KATIKA MAENEO YETU KWA KULINDA AFYA YAKO.
Kuna faida nyingi za kula matunda licha ya kupenda ladha tamu zamatunda tunayokula.
Matunda yana virutubisho vingi ikiwa vitamin A na C hupatikana kwenye matunda mengi ukilinganisha na virutubisho vingine vilivyopo kwenye matunda mengine.
Matunda husaidia kupunguza matatizo ya moyo( heart diseases ), stroke ( kiharusi ), shinikizo la damu ( blood pressure ), cholesterol, aina mbalimbali za saratani (cancer ), matatizo ya uwezo wa macho kuona na mengine mengi. Matunda yote yana manufaa kwa miili yetu lakini napenda uyajue haya machache
Ninaamini kunakitu umekipata kupitia
elimu hii ya matunda hayo yote yanaouwezo wa kukusaidia katika kujenga afya
ya mwili wako,sasa basi kwa Ushauri wa masuala yote yanahusu afya tufikie lupimo sanitarium clinic katika vituo vyetu vilivyopo mikoani
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni