Jumatano, 25 Novemba 2015

Maumivu wakati wa hedhi

hii ni hali ya maumivu makali wakati wa hedhi, inahusisha viungo vya uzazi na

mwili kwa ujumla ambapo kitaalamu inaitwa “ gynecological medical

condition”. Tatizo hili linapotokea mwanamke huathili shughuli zake za kila siku.

Kwa kawaida mwanamke anapoanza damu zake za hedhi hupata maumivu

kidogo na hili ni kutokana na hali ya kukamua au kuminya kizazi ili kutoa damu
iliyopo ndani.

Maumuvu haya huwa makali, au sio makali sana. Wakati mwingine hali hii

umbatana kichefu chefu, kuhisi moto tumboni au maumivu makali yanayokuja na

kupotea. Vile vile hali hii husababisha damu vyingi kutokana na kupoteza au

kutoka kidogokidogo kwa damu ndefu.

Maumivu ya wakati wa hedhi yamegawanyika katika makundi makuu

mawili, kwanza ni maumivu yaitwayo “primay dysmenorrhea” ni maumivu

yanayowapata wasichana na wadogo ambao hawajawahi kupata ujauzito au

kuzaa.

Aina nyingine ni secondary dysnorrhea, hii inasababishwa na magonjwa ya

mfumo wa uzazi, au endapo kuna kasoro au isiyokuwa ya kawaida ndani ya kazi

au kwa nje ya kizazi.

Chanzo cha tatizo

maumivu wakati wa hedhi husababishwa na hali iitwayo “ endometriosis” ambapo

lile tabaka la ndani ya kizazi huwa nje ya kizazi, vyanzo vingine ni uwepo wa

matabaka ya kizazi au uvimbe katika vifuko vya mayai na matatizo katika nyonga,

wengine wanaopata hali hii ni wale wanaotumia njia ya uzazi wa mpango ya

kitanzi.

Vyanzo hivi tulivyoeleza vinawapata wanawake watu wazima au

wanawake walio katika umri wa kuzaa. Pamoja na kwamba yale maumivu ya

primary dysmenorrhea huwapata zaidi wasichana wadogo, lakini pia sababu hizi

tulizoziona zinaweza kukusababishia kumtokea hata msichana ambaye hajawahi

kuzaa.

DALILI ZA MAUMIVU
MAUMIVU HAYA HUWA CHINI YA KITOVU KUANZIA USAWA WA KITOVU, PIA MAUMIVU

HUSAMBAA KUSHOTO AU KULIA NA KUELEKEA MAPAJANI HADI KIUNONI. MAUMIVU

HUAMBATANA NA KICHEFU CHEFU, KUTAPIKA NA WAKATI MWINGINE KUHARISHA NA

WENGINE KUFUNGA KUPATA HAJA KUBWA, MAUMIVU YA KICHWA NA KIZUNGUZUNGU,

MAUMIVU HUWA MAKALI NA WENGINE HUZIMIA.

MAUMIVU HUANZA TARATIBU MARA TU BAADA YA KUMALIZA KIPINDI CHA UPEVUSHAJI

MAYAI NA HUONGEZEKA KIPINDI CHA DAMU NA KUISHA PALE ANAPO MALIZA DAMU YA

HEDHI.

ATHARI ZA TATIZO

MAUMIVU WAKATI WA HEDHI HUMKWAMISHA MTU ASISHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA SHUGHULI

ZAKE ZA KIMAENDELEO, MWANAFUNZI HUSHINDWA KUUDHURIA KIKAMILIFU MASOMO.


TATIZO PIA HUMUIN GIZIA GHARAMA MGONJWA NA FAMILIA KATIKA SUALA ZIMA LA

MATIBABU.

ATHARI YA TATIZO NI UGMBA. MWANAMKE MWENYE MAGONJWA KATIKA MFUMO WA UZAZI

AMBAYO YANASABABISHA MAUMIVU ANAWEZA KUTOPATA UJAUZITO NA HATA BAADAYE

KUFANYIWA UPASUAJI WA KUONDOA KIZAZI.

ANAWEZA KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA PIA MAUMIVU YA TUMBO

CHINI YA KITOVU YANAWEZA KUWA ENDELEVU, YAANI YAKAWA HAPO SIKU ZOTE KWA HIYO

KILA SIKU AKAWA ANALALAMIKA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU ENDELEVU ATAPATA

MAAMBUKIZI BASI ATATOKWA NA UCHAFU AU MAJIMAJI UKENI AMBAKO HUTOA HARUFU AU

MUWASHO.


inawezekana unasumbuliwa na tatizo hili au ndugu yako tufikie lupimo sanitarium clinic tukupatie matibabu ya kumaliza tatizo lako, lupimo tunapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini,  


VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,  

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni