Jumatano, 6 Januari 2016

BORESHA MFUMO WA MMENG'ENYO WAKO WA CHAKULA KWA KUTUMIA PILIPILI MANGA

 Pilipili manga ni mbegu ndogo ndogo ambazo ukiziangalia vizuri sana basi zinataka sana kufanana na mbegu za papai.

Rangi yake ni nyeusi hivi na ladha yake ni mfano wa pilipili.

Moja ya faida za kiungo hiki ni pamoja na kuongeza hamu ya kula, hivyo ni kiungo kizuri sana kwa wale wenye kukosa hamu ya chakula.

Aidha mbegu hizi za pilipili manga husaidia sana kuboresha mmeng’enyo wa chakula na hivyo kumfanya mhusika kuepuka tatizo la ukosefu wa choo ‘constipation.’

Pamoja na hayo, pilipili manga pia husaidia wale wenye shida ya kupata haja ndogo yenye kuambatana na maumivu makali na kutoka kwa taabu.

Pilipili manga, pia husaidia sana kuleta uoni mzuri kwa wale wenye uoni hafifu

Halikadharika pilipili manga husaidia sana kukabiliana na matatizo maumivu ya viungo, sambamba na kutibu magonjwa kinywa, fizi na meno.


kwa maelekezo zaidi pia unaweza kutufikia lupimo sanitarium clinic katika vituo vyetu vilivyopo mikoani
 
VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,


kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni