MATATIZO YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Fangasi sehemu za siri (ukeni) husababishwa na fangasi aina ya 'Candida Albanians'. Ugonjwa huu huitwa 'vaginal candidiasis' kwa kiingereza na ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara.
Fangasi ya ukeni huambukizwa kwa njia ya kutumia vyoo vichafu pamoja na kuchangia nguo za ndani na taulo.
Joto pia unyevu mwingi na nguo za kubana huchangia pia kutokea kwa
fangasi ukeni. Ugonjwa huu unaweza kuambukizwa kwa njia ya ngono.
Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na kutokwa na maji maji meupe mfano wa maziwa kutoka kwenye uke ambayo hayana harufu mbaya, kuwashwa sehemu za siri hasa kwenye uke na mashavu ya uke.
Dalili nyinginezo ni maumivu wakati wa kupata haja ndogo (kukojoa) kwa baadhi ya wagonjwa. Mara chache hali hii hutokea, ikisababishwa nakuchubuka wakati wa kujiwasha na kujikuna.
Hata hivyo, ili kuepukana na tatizo hili ni vyema kuzingatia usafi wa nguo za ndani kwa kuvaa nguo safi iliyofuliwa kila siku na kuanikwa juani (au kupigwa pasi).
Pia vaa nguo za ndani zilizokauka vizuri. Epuka zenye unyevunyevu au mbichi.
Hali kadhalika ni vizuri ukazingatia usafi wa sehemu za siri na kujikausha vizuri mara baada ya kuoga. Huku pia usafi wa choo ukizingatiwa na kuimarishwa.
Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na kutokwa na maji maji meupe mfano wa maziwa kutoka kwenye uke ambayo hayana harufu mbaya, kuwashwa sehemu za siri hasa kwenye uke na mashavu ya uke.
Dalili nyinginezo ni maumivu wakati wa kupata haja ndogo (kukojoa) kwa baadhi ya wagonjwa. Mara chache hali hii hutokea, ikisababishwa nakuchubuka wakati wa kujiwasha na kujikuna.
Hata hivyo, ili kuepukana na tatizo hili ni vyema kuzingatia usafi wa nguo za ndani kwa kuvaa nguo safi iliyofuliwa kila siku na kuanikwa juani (au kupigwa pasi).
Pia vaa nguo za ndani zilizokauka vizuri. Epuka zenye unyevunyevu au mbichi.
Hali kadhalika ni vizuri ukazingatia usafi wa sehemu za siri na kujikausha vizuri mara baada ya kuoga. Huku pia usafi wa choo ukizingatiwa na kuimarishwa.
kwa msaada zaidi na matibabu tufikie lupimo sanitarium clinic tunazo dawa nzuri za kumaliza tatizo hilo kwa muda mfupi, tufikie katika vituo vyetu.
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
kwa maelezo
zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na
0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na
www.hulkshare.com/lupimoclinic.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni