Monday, February 8, 2016
Mwalimu Mkuu Ashushwa Cheo na Kukamatwa na Takukuru Kwa Rushwa ya KUKU
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Amani Mwenegoha amemvua wadhifa
wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Sinamila, Mashaka Lusotola na
kumrudisha kuwa mwalimu wa kawaida.
Hatua hiyo ilikuja baada
Mwenegoha kubaini kuwa walimu wa shule hiyo wamekuwa na tabia ya
kuwaagiza kuku, wazazi wanaowaandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza.
Mwenegoha
alichukua maamuzi hayo, baada ya kuthibitisha kuwa mwalimu huyo mkuu,
ameshindwa kudhiti tabia hiyo ya walimu walio chini yake.
Akizungumzia kusimamishwa kwake, Mwalimu Lusotola alisema amefurahi na kufananisha adhabu hiyo na kumpiga teke chura.
Tayari
mwalimu huyo amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupamaba na Rushwa
(Takukuru), leo anatarajia kwenda kuandikisha maelezo, huku akisisitiza
kuwa hajaomba kitu chochote kwa wazazi.
CHANZO Mpekuzi blog
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
KWA MATATIBABU BORA YA AFYA YAKO TUFIKIE LUPIMO SANITARIUM CLINIC KATIKA VITUOVYETU VILIVYOPO MIKOANI, IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
kwa maelezo
zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na
0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na
www.hulkshare.com/lupimoclinic.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni