Jumapili, 7 Februari 2016

Tatizo  La  Kutokwa  na  Kinyama Sehemu  Ya  Haja Kubwa :  Chanzo, Athari  Zake  na  Tiba   Yake .

Lupimo sanitarium clinic ni kituo cha tiba asili wanatibu magonjwa kama kuota kinyama sehemu ya haja kubwa na magonjwa mengine mengi, kutana tabibu bingwa ambae ni mkurugenzi wa lupimo sanitarium clinic John lupimo mpigie simu sasa hivi umweleze tatizo lako kupitia 0742120577,0769368546 au 0672666601.


Tatizo  la  kutoka  na  kinyama  ama  uvimbe  katika  sehemu  ya  haja  kubwa  hujulikana  kama  Bawasiri.

Katika  lugha  ya  kitaalamu  ugonjwa  huu  hujulikana  kama haemorrhoids  ilihali  katika  lugha  ya  kiingereza, hujulikana  kama  Piles.

Tatizo hili husababishwa na kuvimba, kuharibika na kuondoshwa katika eneo lake kwa  mishipa ya damu  katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Tatizo hili huwaathiri zaidi watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu asilimia 50 ya idadi ya watu wote wako hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 50.

Ingawa dalili zake zinaweza zisijitokeze, lakini tatizo hili huwa na madhara kama kuvuja damu, kuporochoka kupitia tundu la haja na maumivu.

Aina  Za   Bawasiri :  

Kuna  aina  mbili  za  bawasiri

Bawasiri ya nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. 

Mara nyingine, mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina ya bawasiri ambayo kitaalam inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
Bawasiri ya ndani:

Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa  na   huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Hutokana na kuvimba na kuharibika kwa vimishipa vya aina ya artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
-Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
-Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
-Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
-Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.

Je, bawasiri husababishwa na nini?
Chanzo chake kikuu kitaalam hakijulikani, ingawa mambo yafuatayo yanaweza kusababisha au kukuweka katika hatari ya kupata bawasiri:
i.                    Tatizo sugu la kuharisha
ii.                   Kupata kinyesi kigumu
iii.               Ujauzito
iv.                uzito kupita kiasi (obesity)
v.                  Mazoezi ya kunyanyua vitu vizito
vi.                Kuingiliwa  kinyume  na  maumbile
vii.              Umri mkubwa
viii.           Mambo yanayoongeza shinikizo katika utumbo  mpana kama kukaa muda mrefu mahali pamoja
ix.               Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu kuliko vya kuchuchumaa na kujisaidia kwa mda mrefu wakati wa haja.
                Dalili za bawasiri
i.                    Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
ii.                  Maumivu au usumbufu wakati wa kujisaidia
iii.                Kinyesi kuvuja
iv.                kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
v.                   Ngozi  kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
vi.                Na kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa.
Matatizo yanayoweza kutokana na bawasiri:
Upungufu wa damu mwilini (Anaemia) na bawasiri iliyojikaba (Strangulated haemorrhoids)

Vipimo na uchunguzi:

Kipimo cha kidole cha shahada kwa njia ya  puru (Digital Rectal Examination), Kipimo cha njia ya haja kubwa cha kutazama moja kwa moja (Proctoscope) na Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)
 
usiendelee kuteseka na ugonjwa huo kwani lupimo sanitarium clinic tunalitibu vizuri, tufikie katika vituo vyetu vilivyopo mikoani

VITUO VYETU TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL, MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,


kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinic.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni