EPUKA KIFO KISICHOKUWA CHA LAZIMA
  • Nyumbani
  • AFYA
  • SHUHUDA
  • PICHA
  • VIPINDI AUDIO
  • ABOUT US

Ijumaa, 8 Aprili 2016


Lupimo sanitarium clinic sambamba na kwamba wanatoa huduma ya kiafya kwa jamii lakini pia wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali kwa jamii, ambapo leo wametoa msaada wa madawati hamsini (50) yenye thamani ya shillingi milllion tatu katika shule ya msingi ipogoro, ambapo katika kukabidhi madawati hayo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa Amina Masenza, mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesera na viongozi wengine wengi, na hii ni katika kuunga mkono Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ya kwamba elimu bure, ili wanafunzi waendelee kusoma kwa raha na wasiendelee kukaa chini.

Hapa chini tumekuwekea picha mbalimbali za hafla hiyo ya kutoa msaada wa madawati hayo.

karibu lupimo sanitarium clinic kwa matibabu ya afya yako wasiliana nasi kwa namba 0719097574, 0742120577 au 0672666601






TABIBU JOHN LUPIMO AKIWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA



karibuni sana lupimo clinic ambayo ni kituo cha sayansi ya tiba asilia na tiba mbadala na tunapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini tanzania

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania,www.lupimoclinic.blogspot.com,youtube.com/lupimoclinic


Posted by Unknown at 03:50:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

LUPIMO CLINIC NI CLINIC INAYOTIBU MARADHI SUGU NA YA KAWAIDA KWA KUTUMIA MIMEA NA MATUNDA

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili

IDADI YA WATEMBELEAJI WETU


widgeo.net
Follow this blog

Tuwekee email yako hapa

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Recent Articles

  • (kichwa hakijaongezwa)
                Msomaji wetu wa blog hii ya lupimo sanitarium clinic karibu katika mwendelezo wa makala mbalimbali zinazohusu afya yako zin...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    PAPAI ‘TUNDA LA MALAIKA:’ KINGA TOSHA DHIDI YA MSHITUKO WA MOYO, KIHARUSI, SARATANI YA UTUMBO NA KUVIMBA MAPAFU. Kama kuna tunda maaru...
  • HAPA NI NAMNA YA KUJITIBU MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA VITU MBALIMBALI VINAVYOKUZUNGUKA
    MAGONJWA NA JINSI YA KUYATIBU (1)PUMU- Matumizi;(a)hutibiwa kwa kutumia;simbi zaidi ya 20,ndimu nyingi na asali.Kunywa mchanganyiko h...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    FAHAMU SABABU ZA MAUMIVU YA MGONGO NA TIBA YAKE ASILI HAPA Hali ya maumivu ya mgongo huwatesa watu wengi hasa wale wenye umri miub...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    TUMIA FURSA HII KUJUA FAIDA ZA ZABIBU Kama umeteseka kwa muda mrefu na tatizo la ugonjwa wa kisukari sasa suluhisho lako limepatika...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    KULA NYANYA UJIEPUSHE NA KIHARUSI SOTE tunajua ugonjwa wa kiharusi (stroke) ni miongoni mwa magonjwa hatari kwani ukikupata unaweza k...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    UTI, UGONJWA UNAOATHIRI MFUMO WA NJIA YA MKOJO. UTI( Urinary tract infections ) ni uambukizi wa njia ya mkojo ambao huwasumbua watu we...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    JINSI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI.   Leo naelezea  namna ya kukabiliana na tatizo la kuziba mirija ya uza...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Kuchoka wakati wa ujauzito na namna ya kujiepusha Wapenzi wadau natumaini hamjambo! kumekuwa na baadhi ya wadau wanaoniandikia na kuo...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC KWA      MATIBABU YA MARADHI   YANAYOKUSUMBUA   Lupimo sanitarium clinic tunatibu maradhi mbalimbali ...

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC
LUPIMO CLINIC NI CLINIC YAKO ITUMIE KUBORSHA AFYA YAKO, TUPIGIE WAKATI WOWOTE KUPITIA NAMBA 0769368546 AU 0672666601
Mandhari ya Awesome Inc.. Picha za mandhari zimetolewa na molotovcoketail. Inaendeshwa na Blogger.