EPUKA KIFO KISICHOKUWA CHA LAZIMA
  • Nyumbani
  • AFYA
  • SHUHUDA
  • PICHA
  • VIPINDI AUDIO
  • ABOUT US

Ijumaa, 8 Aprili 2016


Lupimo sanitarium clinic sambamba na kwamba wanatoa huduma ya kiafya kwa jamii lakini pia wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali kwa jamii, ambapo leo wametoa msaada wa madawati hamsini (50) yenye thamani ya shillingi milllion tatu katika shule ya msingi ipogoro, ambapo katika kukabidhi madawati hayo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa Amina Masenza, mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesera na viongozi wengine wengi, na hii ni katika kuunga mkono Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ya kwamba elimu bure, ili wanafunzi waendelee kusoma kwa raha na wasiendelee kukaa chini.

Hapa chini tumekuwekea picha mbalimbali za hafla hiyo ya kutoa msaada wa madawati hayo.

karibu lupimo sanitarium clinic kwa matibabu ya afya yako wasiliana nasi kwa namba 0719097574, 0742120577 au 0672666601






TABIBU JOHN LUPIMO AKIWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA



karibuni sana lupimo clinic ambayo ni kituo cha sayansi ya tiba asilia na tiba mbadala na tunapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini tanzania

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania,www.lupimoclinic.blogspot.com,youtube.com/lupimoclinic


Posted by Unknown at 03:50:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

LUPIMO CLINIC NI CLINIC INAYOTIBU MARADHI SUGU NA YA KAWAIDA KWA KUTUMIA MIMEA NA MATUNDA

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili

IDADI YA WATEMBELEAJI WETU


widgeo.net
Follow this blog

Tuwekee email yako hapa

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Recent Articles

  • (kichwa hakijaongezwa)
            Sababu ya Moyo Kupanuka Moyo kupanuka au kuwa mkubwa ni tatizo ambalo huathiri utendaji wa mfumo wa usambazaji damu mwilin...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Maumivu ya Korodani (TESTCULAR PAINS) KWA kawaida mwanaume ana korodani mbili ambazo zimehifadhiwa   katika mfuko maalum wenye...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Faida ya Kula spinachi na viazi Imebainika kuwa ulaji wa matunda na mbogamboga zenye kimeng’enyo cha carotenoid kwa wingi ka...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Hizi ndizo siku hatari zaidi za kubeba mimba kwa wanawake.   Moja ya makala zilizopita niliwahi kuongelea namna ya kupata mtoto w...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    ATHARI ZA MAGONJWA YA ZINAA KWA WAJAWAZITO Magonjwa ya zinaa ni maambukizi yaenezwayo kutoka mtu mmoja hadi mwingine kwa kufanya...
  • (kichwa hakijaongezwa)
         MADHARA YA KULA SUKARI Sukari  Wengi   wetu   tumeshasikia   ushauri   wa   kula   sukari kidogo,   ushauri   ambao   ...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    YAFAHAMU MADHARA YA KUNYWA POMBE KIPINDI CHA UJAUZITO Kipindi cha ujauzito kwa mama ni kipindi muhimu sana ambacho kwa wakati ...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    HII NDIO JUISI PEKEE AMBAYO HUWEZA KUMSAIDIA MWANAMKE MWENYE MATATIZO YA HEDHI Kwa kawaida kipindi cha hedhi huwa ni kati ya s...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    MWENDELEZO WA MADA YA AINA MBALIMBALI ZA JUISI Leo nitaendeleza kuwapatia aina nyingine za juisi na kazi zake mwilini. Kumbuka, juis...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Zijue faida za juisi za matunda mwilini ​ Celery (figili) Juisi ni kinywaji bora na maarufu duniani, lakini ni vyema ukajua juisi i...

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC
LUPIMO CLINIC NI CLINIC YAKO ITUMIE KUBORSHA AFYA YAKO, TUPIGIE WAKATI WOWOTE KUPITIA NAMBA 0769368546 AU 0672666601
Mandhari ya Awesome Inc.. Picha za mandhari zimetolewa na molotovcoketail. Inaendeshwa na Blogger.