EPUKA KIFO KISICHOKUWA CHA LAZIMA
  • Nyumbani
  • AFYA
  • SHUHUDA
  • PICHA
  • VIPINDI AUDIO
  • ABOUT US

Ijumaa, 8 Aprili 2016


Lupimo sanitarium clinic sambamba na kwamba wanatoa huduma ya kiafya kwa jamii lakini pia wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali kwa jamii, ambapo leo wametoa msaada wa madawati hamsini (50) yenye thamani ya shillingi milllion tatu katika shule ya msingi ipogoro, ambapo katika kukabidhi madawati hayo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa Amina Masenza, mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesera na viongozi wengine wengi, na hii ni katika kuunga mkono Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ya kwamba elimu bure, ili wanafunzi waendelee kusoma kwa raha na wasiendelee kukaa chini.

Hapa chini tumekuwekea picha mbalimbali za hafla hiyo ya kutoa msaada wa madawati hayo.

karibu lupimo sanitarium clinic kwa matibabu ya afya yako wasiliana nasi kwa namba 0719097574, 0742120577 au 0672666601






TABIBU JOHN LUPIMO AKIWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA



karibuni sana lupimo clinic ambayo ni kituo cha sayansi ya tiba asilia na tiba mbadala na tunapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini tanzania

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania,www.lupimoclinic.blogspot.com,youtube.com/lupimoclinic


Posted by Unknown at 03:50:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

LUPIMO CLINIC NI CLINIC INAYOTIBU MARADHI SUGU NA YA KAWAIDA KWA KUTUMIA MIMEA NA MATUNDA

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili

IDADI YA WATEMBELEAJI WETU


widgeo.net
Follow this blog

Tuwekee email yako hapa

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Recent Articles

  • (kichwa hakijaongezwa)
            Tatizo La Kupoteza Kumbukumbu Kupoteza kumbukumbu ni ugonjwa unaoingia kwa kasi, ugonjwa huu Umetajwa sasa unakuj...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    TATIZO LA KUVIMBA MIGUU PAMOJA NA TIBA AWALI,KARIBU UPITIE Moja ya sababu ya miguu kuvimba au miguu ni mkusanyiko maji. Hali hii ina...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Bei ya Mafuta Yashuka Tena  habari hii inaletwa kwako kwa hisani kubwa ya lupimo sanitarium clinic kwa msaada wa kiafya wasiliana nas...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    PAPAI ‘TUNDA LA MALAIKA:’ KINGA TOSHA DHIDI YA MSHITUKO WA MOYO, KIHARUSI, SARATANI YA UTUMBO NA KUVIMBA MAPAFU. Kama kuna tunda maaru...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Faida za tangawizi kiafya ZIJUE FAIDA YA KUTUMIA TANGAWIZI, HUTIBU MAGONJWA Ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa Tang...
  • UNAJUA KUHUSU TATIZO LA MWANAMKE KUVUJA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI?
    Mara nyingi ni vigumu kujua kama mwanamke anatoka damu nyingi au kawaida  ikilinganishwa na wanawake wengine wakati wa hedhi. Baadhi ya...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    UJUE UGONJWA WA KISUKARI NA TIBA ZAKE 14 NOVEMBER 2015 Ugonjwa wa K...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    BREAKING NEWS:BASI LA SIMBA MTOTO LAPATA AJALI LAUA Kama umeteseka kwa muda mrefu na tatizo la ugonjwa wa kisukari sasa suluhisho la...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    FAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA DALILI ZAKE ZA AWALI KABISA   Mwaka 2015 ni mwaka ambao tunaweza kusema kwamba tatizo la saratani ya tezi ...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Muwasho na kutokwa na majimaji ukeni (Vaginal Discharge) W iki iliyopita nilianza kuzungumzia aina za magonjwa yanayohusiana...

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC
LUPIMO CLINIC NI CLINIC YAKO ITUMIE KUBORSHA AFYA YAKO, TUPIGIE WAKATI WOWOTE KUPITIA NAMBA 0769368546 AU 0672666601
Mandhari ya Awesome Inc.. Picha za mandhari zimetolewa na molotovcoketail. Inaendeshwa na Blogger.