EPUKA KIFO KISICHOKUWA CHA LAZIMA
  • Nyumbani
  • AFYA
  • SHUHUDA
  • PICHA
  • VIPINDI AUDIO
  • ABOUT US

Ijumaa, 8 Aprili 2016


Lupimo sanitarium clinic sambamba na kwamba wanatoa huduma ya kiafya kwa jamii lakini pia wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali kwa jamii, ambapo leo wametoa msaada wa madawati hamsini (50) yenye thamani ya shillingi milllion tatu katika shule ya msingi ipogoro, ambapo katika kukabidhi madawati hayo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa Amina Masenza, mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesera na viongozi wengine wengi, na hii ni katika kuunga mkono Mh Rais Dr John Pombe Magufuli ya kwamba elimu bure, ili wanafunzi waendelee kusoma kwa raha na wasiendelee kukaa chini.

Hapa chini tumekuwekea picha mbalimbali za hafla hiyo ya kutoa msaada wa madawati hayo.

karibu lupimo sanitarium clinic kwa matibabu ya afya yako wasiliana nasi kwa namba 0719097574, 0742120577 au 0672666601






TABIBU JOHN LUPIMO AKIWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA



karibuni sana lupimo clinic ambayo ni kituo cha sayansi ya tiba asilia na tiba mbadala na tunapatikana mikoa mbalimbali hapa nchini tanzania

kwa maelezo zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na 0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na www.hulkshare.com/lupimoclinictanzania,www.lupimoclinic.blogspot.com,youtube.com/lupimoclinic


Posted by Unknown at 03:50:00
Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Chapisha kwenye XShiriki kwenye FacebookShiriki kwenye Pinterest

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Chapisho Jipya Taarifa za zamani Nyumbani
Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom)

LUPIMO CLINIC NI CLINIC INAYOTIBU MARADHI SUGU NA YA KAWAIDA KWA KUTUMIA MIMEA NA MATUNDA

Unknown
Tazama wasifu wangu kamili

IDADI YA WATEMBELEAJI WETU


widgeo.net
Follow this blog

Tuwekee email yako hapa

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Recent Articles

  • LUPIMO SANITARIUM CLINIC YAUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KUTENGENEZA KIWANDA CHA KUZALISHA DAWA ZA ASILI , KWA KUTUMIA MIMEA, MATUNDA NA MBOGAMBOGA.
    Haya ni maboresho makubwa ambayo clinic ya lupimo sanitarium imeyafanya, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza dawa za asili kwa ku...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Lijue Tatizo la Kuvimba Ulimi na Ufizi   (Thrush/Candidiasis)   Ugonjwa na kuvimba ulimi na ufizi husababishwa na viini vya ukungu (c...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Tuesday, February 16, 2016 Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Februari 16 ...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    ZIFAHAMU SABABU ZA WANAWAKE KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA Kuna baadhi ya wanawake wamekuwa wakipata maumivu makali wa...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA   NDOA (DYSPAREUNIA) Tatizo hili huwasumbua baadhi ya wanawake walio katika umri wa kuzaa...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    Faida za tangawizi kiafya ZIJUE FAIDA YA KUTUMIA TANGAWIZI, HUTIBU MAGONJWA Ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya mmea wa Tang...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    HUU NDIO UKWELI KUHUSU UGONJWA WA KIFAFA NA MATIBABU YAKE..[EPILEPSY}                                                             ...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    PENDELEA KULA MATUNDA NA MBOGAMBOGA UPATE FAIDA ZAKE Kwa kawaida, tunatakiwa kula matunda na mboga za majani kila siku, kiasi kisic...
  • (kichwa hakijaongezwa)
    MWENDELEZO WA MADA YA AINA MBALIMBALI ZA JUISI Leo nitaendeleza kuwapatia aina nyingine za juisi na kazi zake mwilini. Kumbuka, juis...
  • (kichwa hakijaongezwa)
               Ugonjwa wa kisonono (gonorrhea) Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neis...

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC

KARIBU LUPIMO SANITARIUM CLINIC
LUPIMO CLINIC NI CLINIC YAKO ITUMIE KUBORSHA AFYA YAKO, TUPIGIE WAKATI WOWOTE KUPITIA NAMBA 0769368546 AU 0672666601
Mandhari ya Awesome Inc.. Picha za mandhari zimetolewa na molotovcoketail. Inaendeshwa na Blogger.