HII NDIO JUISI PEKEE AMBAYO HUWEZA KUMSAIDIA MWANAMKE MWENYE MATATIZO YA HEDHI
Kwa kawaida kipindi cha hedhi huwa ni kati ya siku nne hadi saba,
huku siku mbili za kwanza damu hutoka kwa wingi na baadaye huanza
kupungua na hatimaye kuacha.
Lakini iwapo katika siku zote za hedhi damu ikatoka kwa wingi na ikaendelea kutoka kwa siku zaidi bila kuashiria dalili za kuacha basi lazima kuwe na tatizo linalohitaji kupatiwa ufumbuzi.
Hata hivyo, kuna baadhi ya wanawake kuna wakati hujikuta wakipata hedhi mapema zaidi tofauti na matarajio yao au mtiririko wao wa kawaida, hii hali nayo huwa ni tatizo na huhitaji kupatiwa ufumbuzi au kuonana na wataalam kwa ushauri zaidi.
Pamoja na hayo, ikiwa umekumbwa na tatizo la kutokwa na damu za hedhi kwa muda mrefu unaweza kutumia komamanga kama huduma ya kwanza kwako.
Unachopaswa kufanya ni kutengeneza juisi ya tunda la komamanga , kisha kunywa glasi moja asubuhi wakati wa kifungua kinywa.Anza tiba hii siku tatu kabla ya muda wa hedhi, ikiwa tayari unalijua tatizo lako na endapo lilishatokea siku za nyuma.
Endelea na tiba hiyo hadi siku mbili mbele mara baada ya damu kuacha kutoka.
kwa msaada zaidi unaweza kutufikia lupimo sanitarium clinic kwa matibabu zaidi.
VITUO VYETU
TUNAVYOPATIKANA LUPIMO SANITARIUM CLINIC NI KAMA IFUATAYO. IRINGA TUPO KIHESA
NJIA PANDA YA MTWIVILA, MBEYA TUPO SOWETO KARIBU NA UWANJA WA SHULE YA MSINGI
MWENGE, DAR ES SALAAM TUPO SINZA MORI AU SINZA MAPAMBANO NYUMA YA UKUMBI WA
LULU, DODOMA TUPO AREA C KARIBU NA MSIKITI WA AREA C, SINGIDA TUPO MANYONI NJIA
PANDA YA KUELEKEA CHIKOLA NA HEKA, GEITA TUPO MITI MIREFU KARIBU NA BICK HOTEL,
MWANZA TUPO NYEGEZI KITUO CHA KIJIWENI AU KALFONIA,
kwa maelezo
zaidi,maoni au ushauri wasiliana nasi kwa simu namba 0769368546,0719097574 na
0742120577 pia www.facebook.com/lupimoclinic,www.twitter.com/lupimoclinic na
www.hulkshare.com/lupimoclinic.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni